Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Vipi mkuu hii imeshasajiliwa? Au nikinunua hio m45 napambana na TRA tena?
Vipi mkuu hii imeshasajiliwa? Au nikinunua hio m45 napambana na TRA tena?
Hizo zimesajiliwa mkuu hapo kuna namba C na D ukitaka mpya kabisa ambayo imelipiwa mpaka ushuru ni Milioni 80
View attachment 1196996R420 hio?.......na hizo namba C na D ndo hizo picha zenye cabin ya njano au? Sijakuelewa
mkuu pick up Truck 1tonne napata kwa tsh ngap?
Kanishangaza huenda ni yake ila ange enda pmMkuu mbona unataka kuchomoa betri
Mkuu hii ipsum na Toyota wish ipi ni nzuri kwamazingira yakijijini