Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Nahitaji kigari cha milioni mbili ambacho hakitafuni mafutavsana
We mkaka,
Nahitaji Toyota Premio au Allion.
Nikiwa na maximum ya 8 million naweza pata gari nzuri kati ya hizo mbili
Mkuu kwenye hizo detail uwe unaongezea na location mzigo ulipo