Wapenzi wa muvi; Je, Iko Uwais ndio mrithi wa Tonny Ja, Donie Yen, Jet le na wengineo (picha & Video)

Na kuna ile moja ya msituni, panga zinatembea balaa, sijui inaitwaje nayo imetulia kinoma.
 
inaitwa merantau
 
Iko uwaisi yupo vizuri lakin ajitahidi kidogo kufika level ya donie yen na jet Lee
So far naweza kusema tonny ja na uwais now wapo level moja
 
Huo mkono uliopigwa hapo hadi nimesisimka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…