Wapenzi wa muvi za Nollywood (Nigeria)

Wapenzi wa muvi za Nollywood (Nigeria)

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,672
Reaction score
6,880
Natumai mpo sawa wapendwa,
Mimi ni mpenzi sana wa Hizo muvi,
Kwa sasa huwa naingia moja kwa moja youtube na kujipakulia muvi yoyote ile.
Naomba tusaidiane kuelekezana muvi nzuri sana ambayo uliikubali na ungependa nasi tuifurahie.
Mimi naanza
1.Submission
2.Casandra
3.unwAnted musketer
4.THE KING IS MINE
N.k
Naomba muvi utayotaja ikiwezekana sema inahusu nini,
Ahsanten sana.
Karibuni.
 
Hebu wacha nicomment labda ntakuletea kismati watu wauone uzi wake...JF bwana, watu wanakupita kama hawakuoni...
 
andikeni jama,
Msipite tu.
 
Back
Top Bottom