Japo utawala wa Jamal Malinzi uliingia doa lakini mkakati wake wa kuhakikisha viwanja vinaboreshwa niliupenda
Alianza na Nyamagana stadium akaweka nyasi bandia, ikafuata Kaitaba stadium ikakamilishwa, ila kabla hajaenda viwanja vngne utawala wake ukala mweleka
Wallace Karia inabidi aendeleze huu mkakati wa kuboresha viwanja maana ubovu wa viwanja unapunguza sana ladha ya mpira mtamu ktk ligi yetu
Kwa hivi sasa tuna viwanja Vitano tu nchi nzima vilivyo ktk ubora mzuri,,, Mkapa, Uhuru, Chamazi, Kaitaba na Nyamagana