Wapenzi wa ndondi, matokeo yalikuaje Taifa?

bobtony

Member
Joined
Jun 28, 2015
Posts
44
Reaction score
37
Wakubwa wapenzi wa ndondi, jana matokeo yalikuaje uwanja wa Taifa, hasa gemu Kati ya Maugo Vs Dulla Mbabe. Nasibu Ramadhani Vs Francis Miyeyusho, Cosmas Cheka Vs Mudi Matumla.
 
Ngumi za bongo wanapanga matokeo kwa hiyo siku hizi watu hawaendi tena, maana ni kupoteza hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…