Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Nasubili zile dakika 2 za mwishoni tulizofanya maajabu yetu! Hivi Samuel kufoul yupo wapi siku hizi?Wapenzi wa Soka mliopo nyumbani na wenye visimbuzi vya Azam Tv unaweza ukaweka MUTV Channel 404 ukajionea mechi ya kumbukumbu ya miaka 20 tangu Manchester United walipotwaa TREBLE!! Kuna wachezaji bado wana uwezo mkubwa sana!!
Kafunga goli la kwanza, tumewapiga 5 wale jamaaOle sendeka wetu anacheza? Au kaanzia bench km kawaida yake
Hahahhaha jamaa alilia kama mtotoNasubili zile dakika 2 za mwishoni tulizofanya maajabu yetu! Hivi Samuel kufoul yupo wapi siku hizi?