Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?