Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?
Na wale wanaokunywa pombe je! Hawa wanamzimikia nani?
Na wale wanaokunywa pombe je! Hawa wanamzimikia nani?
Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?
"Emancipate yourself from mental slavery,none but ourselves can free our minds.''Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;<br />
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......<br />
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....<br />
Mnasemaje kuhusu hili?
Mzizi itabidi utuombe radhi.....