Wapi Banza Stone tangu ajitabirie kifo?

Wapi Banza Stone tangu ajitabirie kifo?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Mwishoni mwa mwaka 2012 mwimbaji maarufu wa muziki wa dansi hapa Tz maarufu kama Banza Stone alisikika katika kipindi maarufu kinachorushwa na mtangazaji makini Millard Ayo kupitia clouds fm kwamba anaona kifo kitamchukua si muda mrefu!ingawa alikiri kuwa huenda ni kwa sababu ya ugumu wa maisha!Je yuko wapi na ana hali gani?mwenye taarifa zake tafadhali.
 
Bado yupo,yeye si Mungu mpaka ajitabirie kifo,nasikia yupo na Mzee wa Farasi wakiwaburudisha wanachi na bendi ya Extra Bongo,ukisikia hiyo bendi inapiga mahala nenda utamuona tu
 
Pita Sinza T - Garden pale kila ijumaa utamkuta anatumbuiza kwa mbili tatu za zamani kabla ya kwenda kwenye shoo za Extra Bongo.
 
Mwishoni mwa mwaka 2012 mwimbaji maarufu wa muziki wa dansi hapa Tz maarufu kama Banza Stone alisikika katika kipindi maarufu kinachorushwa na mtangazaji makini Millard Ayo kupitia clouds fm kwamba anaona kifo kitamchukua si muda mrefu!ingawa alikiri kuwa huenda ni kwa sababu ya ugumu wa maisha!Je yuko wapi na ana hali gani?mwenye taarifa zake tafadhali.
Kweli mkuu, miaka miwili mbele kifo kilimchukua
 
Back
Top Bottom