Wapi big screen -World Cup

Njoo kwangu unaangalia bure kinywaji utapata bure msosi ukitaka unapata bure.............pako comfortable kweli kukidhi mahitaji yako
 
Njoo kwangu unaangalia bure kinywaji utapata bure msosi ukitaka unapata bure.............pako comfortable kweli kukidhi mahitaji yako
Hivi nyinyi mmekuja na mbinu mpya ya kutafuta viungo vya watu au?
location yako ni:Home/Office/Bar/Saloon!!
Naruhusiwa kuja na bouncer?kuna kitu ungeongeza hata kujibu nisingejibu,ungenikuta mlangoni,litakalotokea na liwe!
Nime ku PM!
 
Nimesikia Coca Cola wamefunga Big Screen nje pale Mlimani City
 
Wewe bana unatakiwa uishi na wavuvi ndio ujue utaratibu wao wa maisha, nyumba kubwa unakuwa nayo kwenye shughuli za uvuvi~nyumba ndogo ipo town, usafiri ungo, and life goes on!. Kwa hiyo Tandika Maguruwe ni kwa shemeji yako mdogo huko!.
 
Nenda Club Ambience Africa Sana ama Meeda iliyopo Sinza, maeneo haya utapata big screen na vinywaji, chakula, mashabiki kibao utawakuta na hata wale dada zetu watakuwepo.
Hao ndo wananogesha mpira na kuutoboa mfuko wakati huu wa tarehe dume!!I'll watch in my local bar Le Pub Loure ndani ya Keko kuna BIG screen ambayo hata macho macho ya mlevi yanaweza kumwona vyema makoena
 
Hao ndo wananogesha mpira na kuutoboa mfuko wakati huu wa tarehe dume!!I'll watch in my local bar Le Pub Loure ndani ya Keko kuna BIG screen ambayo hata macho macho ya mlevi yanaweza kumwona vyema makoena

M-PM Pearl kwa habari zaidi kuhusu hii Pub yetu - Shida ni parking!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…