Wapi bora, chuo cha TRA au chuo cha BOT au CBE na TIA

Wapi bora, chuo cha TRA au chuo cha BOT au CBE na TIA

Hizo fani za banking na kodi zimejikita zaidi kwenye ajira chache, yani ukikosomea banking ajira ni za benki, ukisomea kodi ajira ni za tra au bandarini, nje ya hapo utasota

Ni heri asomee accounting ina uwanja mpana wa ajira zikiwemo ajira za banking na kodi, Vyuo vizuri vya uhasibu ni
  • UDSM
  • UDOM
  • MZUMBE
  • TIA
  • IFM
  • IAA
  • MOCU
  • CBE
Akikosa vya serikali anaweza kusomea vya private kama SAUT, TUMAINI, RUCO, n.k.

But still ajira hazina uhakika sio za kutegemea sana, vijana kibao wanasota na degree zao, kwa hali ya sasa kupata ajira uwe na connection au uwe na bahati ya kutoboa kwenye nyomi la wahitimu kwenye interview (Ubahatike mchujo kwa wataoitwa kwenye interview, upenye interview ya maandishi, upenye interview ya kujieleza kwa mdomo na upenye kwenye orodha ya wataoitwa kazini)
 
kwani si walishamalizaga application? ye amechaguliwa wapi? au ndo dirisha litakapofunguliwa ndo ataomba
kuna kutamani na kuna kupata tunaweza mchagulia akaomba asipate
actually, nadhani alikuwa anadiscuss tu na wenzie akawa interested, ndio kaja kuniambia sasaivi hapa nikiwa nabadilishana naye mawazo. sio kwamba anaingia intake ya mwaka huu au whatever, after all kuna masomo mengine yupo enrolled, ila aliponipa hili wazo nikataka kupata details zaidi ya hivyo vyuo. ndio maana nikaweka hapa.
 
KWA FRESHERS ( FIRST YEAR) NA CONTINUOS........, KARIBUNI......,MJIPATIE ......,VYUMBA VILIVYO......,. KARIBU NA VYUO VYA MIKOA YA KILIMANJARO-MOSHI...NA...ARUSHA---.....WASILIANA ........NAMI...
..
#MOCU,#KCMC,#MWENGE,#MWEKA.......#IAA,#TENGERU.,#NELSON_MANDELA
..
..0672701329
 
Back
Top Bottom