wapi dr mzuri wa circumcision Dar?

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,570
wanajamvi naomba mnijuze dr mzuri wa circumcision jijini dar kamanda wangu amefkkia umri wa tohara. nimesikia habari ya plastic circumcision ambayo haikuwepo enzi zetu what's it?
 
Sijui unaishi wapi, lakini sisi tunaokaa maeneo ya Kariakooo na city Centre ngariba wa watoto wetu ni Dr Juma, yupo mtaa wa Swahili/Rufiji, anauzoefu tosha wa fani hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…