Jamani nimemkumbuka sana First Lady wetu Salma Kikwete........sijamuona siku nyingi sana na si kawaida yae kutong'aa habarini kwa muda wote huu........ama badu kuna tetesi za hapa na pale mjini hapa.......kuna mwenye ujuvi wowote atujuze???
WAMA haina jipya ndo maana haonekani .alafu alifanya promo last half ya mzee so sasa hivi hamna haja ya promo maana mzee anaenda kuachia ngazi kwa vyovyote vile
WAMA haina jipya ndo maana haonekani .alafu alifanya promo last half ya mzee so sasa hivi hamna haja ya promo maana mzee anaenda kuachia ngazi kwa vyovyote vile