wapi hapa?

Hapo member kibao za JF hazijazaliwa. Asante kwa picha mkuu.
 
Naomba nikupe mji uniambie kuwa hapo ni wapi....maana nimeipenda hiyo mandhari yake.
Ukiniambia ni wapi, nataka nikatembelee maana naona kuna hewa safi..... Nenda Abu Dhadi

 
Naomba nikupe mji uniambie kuwa hapo ni wapi....maana nimeipenda hiyo mandhari yake.
Ukiniambia ni wapi, nataka nikatembelee maana naona kuna hewa safi..... Nenda Abu Dhadi

Abudhabi ni kuzuri lakini siendi nipe mji mwigine
 
hili snepu ni boge la kumbumkumbu za longi wadau wenye masnepu ya longi wayatumbukize hapa jamvini ili tupate kujikumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…