Wapi Hemedi siku hizi?

Status
Not open for further replies.
Senetor nakukubali sana ulivyokuwa huna chuki na mkali wetu!huo ndo ujanja sasa!big up jembe!ilale
 
Last edited by a moderator:
Yaani watu kwa kufuatilia vichomi sijui itaisha lini.Ila pongezi zake nasikia mjamzito sasa hivi au nisije nikawa namfananisha si yule wa tusker
 
Yaani watu kwa kufuatilia vichomi sijui itaisha lini.Ila pongezi zake nasikia mjamzito sasa hivi au nisije nikawa namfananisha si yule wa tusker

Haters!big up msela nigga muhuni!!umetisha sana na macomment yako
 
Last edited by a moderator:
Jamani wa2 wanachukia vibaya... ivi inakuwaje unamchukia mtu kias icho ambae akupunguzii kitu wala kukuongezea kitu...
 
Ana mashauzi sn ka ya mtoto wa kike anayetafuta bwana mi ananiboa kiukweli,hanivutii na anatafuta umaarufu kinguvu sn na bac ngoja niishie hapa maana
 
Pretty Huge Dude! Kumbe lisemwalo lipo. Naomba nisipate BAN kwa kufukunyua hii thread ilipofichwa! Wenzangu pia epukeni maneno makali kabla jeiefu haijatoweka hewani tena.
 
Handsome la jiji,linakacheza kale kamchezo kao...Referee Obama na Cameroon!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…