YOTE UBATILI
Member
- Nov 19, 2010
- 13
- 0
Ngoja nijaribu ku-hack kwanza ili niweze kukutambua kwa kutumia njia mbalimbali ndo ntakuja kutoa ushauri.But hospital ndo ssehem salamaJamani waungwana,
Hebu nishaurini wapi ntapata huduma nzuri ya kuondolewa hii kitu,kwa kuzingatia umri wangu. Nakaribisha na ushauri mwingineo,
SHukrani.
Jamani waungwana,
Hebu nishaurini wapi ntapata huduma nzuri ya kuondolewa hii kitu,kwa kuzingatia umri wangu. Nakaribisha na ushauri mwingineo,
SHukrani.