Wapi kituo cha waathirika dar

ADK

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2012
Posts
2,236
Reaction score
809
Salaam wakuu,
hivi hapa dar kuna kituo cha kuwatibu waathirika wa madawa ya kulevya?
Kwa maana ya kambi
maana nina shemeji yangu hashikiki kwa hayo madawa licha ya kwamba anatibiwa muhimbili na pale amana hosp. Mambo naona si mazuri
 
Salaam wakuu,
hivi hapa dar kuna kituo cha kuwatibu waathirika wa madawa ya kulevya?
Kwa maana ya kambi
maana nina shemeji yangu hashikiki kwa hayo madawa licha ya kwamba anatibiwa muhimbili na pale amana hosp. Mambo naona si mazuri

Mkuu pole sana, kuna mahali pamefunguliwa hebu pitia hapa kwenye hii link naona wameweka na contact zao unaweza kuwapigia ukajua zaidi baada ya kuisoma wanachokifanya kuwahudumia:

http://www.google.com/url?sa=t&rct=...5oCwCw&usg=AFQjCNFE6P7Rg8tCfQSo83YccAYIsR_Xzg
 
mkuu pole sana, kuna mahali pamefunguliwa hebu pitia hapa kwenye hii link naona wameweka na contact zao unaweza kuwapigia ukajua zaidi baada ya kuisoma wanachokifanya kuwahudumia:

Redirect Notice

kabla ya kuifungua natanguliza shukrani
 
Hongera sana kwa kutamani kumpa support ndugu yako. Addiction inahitaji support.ya kila mtu kwa sababu ni ngumu kutibika na vishawishi vipo kila mara. Anapata support groups? Hebu browse sober house., naona wana activities kadhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…