E Eliud Bunju JF-Expert Member Joined Nov 26, 2017 Posts 356 Reaction score 666 Jun 22, 2022 #1 Nataka kujua ni chimbo lipi naweza kupata nguo za dukani Kwa bei ya jumla jumla Kariakoo?
BARDIZBAH JF-Expert Member Joined Jan 11, 2017 Posts 5,259 Reaction score 10,078 Jun 22, 2022 #2 Mimi pia nataka chimbo la kununua shati za shule zile tomato kwa bei ya jumla soksi pamoja na kalamu
C clinician JF-Expert Member Joined Mar 5, 2014 Posts 2,098 Reaction score 4,926 Jun 23, 2022 #4 Huwa wanasema wafanyabiashara wa kariakoo ni heri wakupe hela,lakini sio kukutajia machimbo ya bidhaa.
Huwa wanasema wafanyabiashara wa kariakoo ni heri wakupe hela,lakini sio kukutajia machimbo ya bidhaa.
Kichaka12 JF-Expert Member Joined Dec 11, 2018 Posts 300 Reaction score 263 Jun 23, 2022 #5 Ninachokiona ni kuwa hayo machimbo itayapata wakati tayari uko ndani ya field.. Lazima upigwe kidogo mwanzon hadi kupata connection ya mahali pa kuchukua mzigo kwa bei rahisi
Ninachokiona ni kuwa hayo machimbo itayapata wakati tayari uko ndani ya field.. Lazima upigwe kidogo mwanzon hadi kupata connection ya mahali pa kuchukua mzigo kwa bei rahisi
Mohamedy cadinaly JF-Expert Member Joined Apr 24, 2012 Posts 2,449 Reaction score 2,245 Jun 23, 2022 #6 BARDIZBAH said: Mimi pia nataka chimbo la kununua shati za shule zile tomato kwa bei ya jumla soksi pamoja na kalamu Click to expand... Daahh hv haya mashart kumbe bado yapo.... nakumbuka shule mtu ulikuwa unaonekana tozi sana ukivaa haya mashati
BARDIZBAH said: Mimi pia nataka chimbo la kununua shati za shule zile tomato kwa bei ya jumla soksi pamoja na kalamu Click to expand... Daahh hv haya mashart kumbe bado yapo.... nakumbuka shule mtu ulikuwa unaonekana tozi sana ukivaa haya mashati