Wapi kuna soko la asali hapa Dar?

Wapi kuna soko la asali hapa Dar?

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Wadau kuna mwenzetu ana asali mbichi lt 240 anataka soko na hajui auze wapi na lt 1 auze kiasi gani?
 
anauzaje?auze lita sh 3000 tumtafutie soko
 
anauzaje?auze lita sh 3000 tumtafutie soko

Asante ndg, maelezo yangu yamejitosheleza, kuwa ndg huyu hajui mahali soko lilipo sasa wewe sema wapi so lipo na wanunuzi wa jumla lt1 wananua kwa sh.ngapi?
 
Wewe unavunaje au unajishughulishaje na Asali wakati hata bei hujui kiasi gani katika soko la kawaida?
Mnatungaushe vijana wengine.Lakini inaonekana huyo jamaa sio serious na inawezekanani dalali tu.
Maana wakulima wa Asali wote wanajua bei ya awali na mabadiliko ya soko.Kisha ndio wanatafuta kwenye bei nzuri.Sasa inavyoonekena huyu hajua hata bei ipo,kwani ndio mara ya mwanzo kwenye hii biashara asali?
 
Asante ndg, maelezo yangu yamejitosheleza, kuwa ndg huyu hajui mahali soko lilipo sasa wewe sema wapi so lipo na wanunuzi wa jumla lt1 wananua kwa sh.ngapi?

ninae mtu atanunua kwa elfu tatu lita..so nicheki kama bado zipo
 
Mimi nahitaji lita 2 za kutumia binafsi maana juzi nimepewa asali ina pilipili ndani
 
Wewe unavunaje au unajishughulishaje na Asali wakati hata bei hujui kiasi gani katika soko la kawaida?
Mnatungaushe vijana wengine.Lakini inaonekana huyo jamaa sio serious na inawezekanani dalali tu.
Maana wakulima wa Asali wote wanajua bei ya awali na mabadiliko ya soko.Kisha ndio wanatafuta kwenye bei nzuri.Sasa inavyoonekena huyu hajua hata bei ipo,kwani ndio mara ya mwanzo kwenye hii biashara asali?

kweli kabisa chief yaani umempiga msumari wa jahazi huyo mwenye asali
 
Ebwana soko la asali lipo kisutu... pembeni ya viwanja vya mnazi mmoja lita wananunua kwa elfu 7.
 
Mimi asali nilyopark tayari nauza lita 1 ,12000 sasa huko kwingine sijui,
 
Back
Top Bottom