Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Salaam wakubwa..
Hivi kwa Hali ya sasa, ni wapi kwenye uangalau iwapo ukisoma at least utapata maarifa Fulani kwenye maisha???
Yaani wapi utapata vitu vyenye application kwenye maisha?
1: chuo kikuu. (university)
2:Vyuo vya ufundi (technical)..
Wapi unapoona panafaa kwa usawa wa sasa??
Pancho boy
Hivi kwa Hali ya sasa, ni wapi kwenye uangalau iwapo ukisoma at least utapata maarifa Fulani kwenye maisha???
Yaani wapi utapata vitu vyenye application kwenye maisha?
1: chuo kikuu. (university)
2:Vyuo vya ufundi (technical)..
Wapi unapoona panafaa kwa usawa wa sasa??
Pancho boy