Wapi Laurence Marsha?

Wapi Laurence Marsha?

KAMANDA HANGA

Senior Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
158
Reaction score
58
Wana Jf naomba mwenye taharifa za wapi alipo na shuguli anazofanya huyo waziri wa zamani wa mambo ya ndani na mwanasheria mahiri na mwanzilishi wa IMMMA Advocate. Kumekuwa na uvumi mwingi juu ya mwanasisa huyo kijana; wengine wanadai kafulia sasa anakampuni ya kuzoa taka, wengine wanadai ni mmoja wa wakurugenzi wa lake oil akiwa na ritz, ila kibaya zaidi hata shuguli za IMMMA hatumuoni wala kumsikia, na hata Kempinski level 8, Much more bills na kwingineko haonekani. Tafadhari mwenye habari ya uhakika juu yake atujuze tuondoe walakini. Naomba kuwasilisha.
 
Great thinker hawi na hasira zisizo na busara. Nime clarify kuwa lengo ni kuondoa tetesi zisizo na ukeli kusudi huyu bwana asafishike. Unachukia nini kwani wewew nani kwake? Jadiri hoja sio hasira.
 
unamuulizia mtu mwenye urahia wa nchi mbili tz na US pengine ashatambaa mbele
 
Kafulia ana kampuni ya kuzoa takataka...? Kila nyumba ni shilingi 10,000 kwa mwezi, kuna malori yale zaidi ya kumi na yanaonekana from Mikocheni to Masaki. Hesabu za fasta fasta tuu akipata contract ya nyumba 100 tuu revenue collected ni 1million Tshs! Na hiyo ni contract za residential dwellings tuu. Kama anafanya biashara hiyo huyu jamaa hajafulia - he is laughing all the way to the bank!!
 
Back
Top Bottom