msaada jamani naomba mnielekeze jinsi ya kufika baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishuke kituo gani? maana naenda kwanye interview j3
msaada jamani naomba mnielekeze jinsi ya kufika baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishuke kituo gani? maana naenda kwanye interview j3
Nenda Kariakoo, panda gari za temeke shimo la udongo mweleze konda atakushusha au panda gari za Sinza tandika ukifika Sudan shuka upande gari za Kariakoo shimo la Udongo mweleze Konda atakusha