xir jyerphy
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 994
- 184
Aisee hawa jamaa wamekua mstar wa mbele kutupa info na ahadi tamtam juu ya selection na mmoja wao ameahidi kuangusha mizigo ya vyuo maarufu humu jamvin...lakin cha kushangaza wamekua kinyaaaa....!!!