Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
PLUS TV BURIANI MAALIM: WAPI MAALIM KAFANANA NA MWALIMU?
Leo asubuhi Plus TV walinitembelea nyumbani kunihoji kuhusu vipi Maalim alivyojenga Demokrasia Tanzania.
Kipindi cha saa nzima.
Tunakaribia kuhitimisha kipindi Mtangazaji Jumanne Juma mithili ya chui aliyejificha kichakani akanivamia na swali ambalo hakika sikulitarajia.
Anataka nimpe sifa tano za Maalim zilizofana na sifa tano za Mwalimu.
Swali la papo kwa papo.
Jibu la papo kwa papo.
Tulikuwa tumesimama Maktaba Jumanne anaangalia vitabu vitatu vya historia ya Julius Nyerere.
Nikamchomolea na kitabu cha maisha ya Abdul Sykes bahati mbaya hakuwa anakijua kitabu hiki.
Ameahidi kukisoma ili tufanye kipindi.
Leo asubuhi Plus TV walinitembelea nyumbani kunihoji kuhusu vipi Maalim alivyojenga Demokrasia Tanzania.
Kipindi cha saa nzima.
Tunakaribia kuhitimisha kipindi Mtangazaji Jumanne Juma mithili ya chui aliyejificha kichakani akanivamia na swali ambalo hakika sikulitarajia.
Anataka nimpe sifa tano za Maalim zilizofana na sifa tano za Mwalimu.
Swali la papo kwa papo.
Jibu la papo kwa papo.
Tulikuwa tumesimama Maktaba Jumanne anaangalia vitabu vitatu vya historia ya Julius Nyerere.
Nikamchomolea na kitabu cha maisha ya Abdul Sykes bahati mbaya hakuwa anakijua kitabu hiki.
Ameahidi kukisoma ili tufanye kipindi.