Mkuu ng'ombe wazuri wanatoka kenya. pia huwa nasikia shinyanga kuna shamba la hao ng'ombe wa maziwa .
kutoka kenya hadi mwanza si chini ya m3 hv na anakuwa na mimba
Mkuu ng'ombe wazuri wanatoka kenya. pia huwa nasikia shinyanga kuna shamba la hao ng'ombe wa maziwa .
kutoka kenya hadi mwanza si chini ya m3 hv na anakuwa na mimba