Wapi Manengelo ?

Wengine msiwaulizie wapo kwenye matatizo makubwa!, We mtu unakuta hakuwahi kupiga nyungu korona imekuja ndo unapiga for the first time kumbe unaamsha majini na mizimu ya ukoo wenu yanapanda.. kazi inaanza kuyashusha Mara kwa waganga mara maombezi..
Unakuta mtu mmekaa nae ghafla mwenzenu anaanza kukimbia kwa spidi ya umeme๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mnaanza kukimbiza! Unafikiri mtu kama huyo mtamuona jf!!!

Nyungu noma..๐Ÿ˜…๐Ÿ˜œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ