Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
- Thread starter
-
- #21
Ni shiida nikikupa habari zake utalia,,,,, mimi namfahamu sana,,,, eeeeh mola tusaidie ,,,,,
Please tunaomba hizo habari zake.Kama ni nzito sana unaogopa ile sheria nitumie kwa PM.
Hahaha nifah umetsher yn umbea ka ulzaliwa saloon
Please tunaomba hizo habari zake.Kama ni nzito sana unaogopa ile sheria nitumie kwa PM.
Hahahahahaa, jamani hakuna asiyependa umbea.Hili jukwaa linapitiwa na watu wengi sana kufuata umbea,tena hao wanaopita kimyakimya ndio hatari zaidi.