DarajaWw umejenga nn mkuu
Wanakijiji 2000 na kama familia 500 kwa ratio ya watu wa4 kwa familia.£70 x wanakijiji 2000 ni £140,000
Ambayo ni sawa na milioni 400 za kibongo!
So jamaa anatumia milioni 400 kila mwezi kuwapa mshahara wanakijiji?
Kama zile milioni hamsini walipewa kila kijiji wabongo au vipi Mkuu???? Amechukuwa system nchi za wenye akili wasiokuwa na uwezo huwa wanalipwa,ukifikilia kibongo bongo utaona kama haiwezekani...Kwani viongozi siku zote huimba hamna serikali duniani inawapa pesa watu wake,kwa kuwa wengi tumevaa miwani ya mbao tunawaamini,kutupatia zaidi wametufanya hata Films za wenye akili tusiangalie wametuwekea waturuki =waarabu,na wa North Korea.Kuwapa watu cash money kila mwezi bila kufanya kazi hiyo nikuwafanya wawe wazembe. Hela zake simpangii, ila ingekuwa jambo jema kama angewawezesha. Ni maoni tu jamani, msiniue.
Kama zile milioni hamsini walipewa kila kijiji wabongo au vipi Mkuu???? Amechukuwa system nchi za wenye akili wasiokuwa na uwezo huwa wanalipwa,ukifikilia kibongo bongo utaona kama haiwezekani...Kwani viongozi siku zote huimba hamna serikali duniani inawapa pesa watu wake,kwa kuwa wengi tumevaa miwani ya mbao tunawaamini,kutupatia zaidi wametufanya hata Films za wenye akili tusiangalie wametuwekea waturuki =waarabu,na wa North Korea.
Each family. Sio each person£70 x wanakijiji 2000 ni £140,000
Ambayo ni sawa na milioni 400 za kibongo!
So jamaa anatumia milioni 400 kila mwezi kuwapa mshahara wanakijiji?
Hawa wa Senegal wanajua kujali kwao wakifanikiwa mf Akon pia kafanya makubwa,ila mbongo akiwa nje hatak hata kujulikana kama anatoka bongo hahah
★Sadio Mane is transforming his village to a town. 🇸🇳
He built a £455000 hospital and €250000 school in his village, Bambaly.
He gives each family €70 monthly.
He provided 4G internet for them.
He is building a fuel station and post office.
2000 people live in his village.
Respect. 👏