Ulitaka kusema nini???Na wewe kuwa star ujenge misikiti badala ya kubebesha wengine shida zenu.
Ulitaka kusema nini???
Mhhhh Upo China nini mshikaji?? Au South africa?? Waliothibitishwa na Dr wao wagonjwa, kuna wazima ila wamekosa kazi kwa sababu yoyote ile.. Machinga hazina nafasi kama bongo,sasa hao kwa wenye akili wanalipwa,pesa ambayo inawatosha kupata kila kitu kuhusu chakura hili walishafuta miaka mingi iliopita hawana tatizo la chakura, .. naoengelea Western Europe.Hizo nchi unazosema watu wanaopewa pesa ni wale ambao wamepata uthibitisho kutoka kwa daktari kwamba hawana uwezo wa kufanyakazi. Na hiyo pesa wanayopewa ni ndogo sana kulingana na gharama za maisha. Kwa wale wasio na ajira hela wanayopokea baada ya miezi miwili lazima watakatute kazi kwasababu baada ya kulipa bills zote inabidi wadundie mpaka fegi. Hizo story bora uzisikie hivyohivyo tu.
Du??? Unaelewa kinachoandikwa au unavamia tu??? Hebu kapate chips dume kwanza halafu uwashe tecno yako.The so-called stars don't owe anybody shit.
Kama unataka kujenga misikiti, tafuta hela zako ujenge wewe sio kupangia wengine matumizi ya hela zao.
Mhhhh Upo China nini mshikaji?? Au South africa?? Waliothibitishwa na Dr wao wagonjwa, kuna wazima ila wamekosa kazi kwa sababu yoyote ile.. Machinga hazina nafasi kama bongo,sasa hao kwa wenye akili wanalipwa,pesa ambayo inawatosha kupata kila kitu kuhusu chakura hili walishafuta miaka mingi iliopita hawana tatizo la chakura, .. naoengelea Western Europe.
Zingine chai tu.£70 x wanakijiji 2000 ni £140,000
Ambayo ni sawa na milioni 400 za kibongo!
So jamaa anatumia milioni 400 kila mwezi kuwapa mshahara wanakijiji?