Wapi Mchengerwa ma-Headmaster wanafanya biashara za kuuza nafasi za form one 2025 kwa malipo ya mpaka Sh. Milioni moja

Wapi Mchengerwa ma-Headmaster wanafanya biashara za kuuza nafasi za form one 2025 kwa malipo ya mpaka Sh. Milioni moja

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Mbona naona km serikali imesimama kila mwenye kanafasi anajifanyia anavyoona inamfaa. Wiki hii wameripoti wanafunzi wanajiunga na masomo ya sekondari kidato cha kwanza 2025. Kuna shule za serikali ambazo zina ufaulu mzuri walimu wakuu(Headmasters) wanauza nafasi za kujiunga na shule hizo kwa kuhamishiwa watoto waliochaguliwa shule zingine kwa rushwa ya mpaka Milioni moja au zaidi.

Mifano michache kuna shule pale Manyara kama Ayalagaya Sekondari na Dareda sekondari. Arusha kuna shule inaitwa Ngabobo iko Ngarenanyuki, kuna mmbulu pale anatafuna hela utafikiri shule ya babake.

Ukiachana na rushwa, sahivi wiki imeisha watoto hawajafundishwa chochote, kisa hakuna vitabu wala miongozo ya mitaala mipya. Tunachorushiwa sahivi na TBC kila siku ni maghorofa ya skuli zanzibar. Tuemepatwa na nni km Nchi?
 
Mbona naona km serikali imesimama kila mwenye kanafasi anajifanyia anavyoona inamfaa. Wiki hii wameripoti wanafunzi wanajiunga na masomo ya sekondari kidato cha kwanza 2025. Kuna shule za serikali ambazo zina ufaulu mzuri walimu wakuu(Headmasters) wanauza nafasi za kujiunga na shule hizo kwa kuhamishiwa watoto waliochaguliwa shule zingine kwa rushwa ya mpaka Milioni moja au zaidi.

Mifano michache kuna shule pale Manyara kama Ayalagaya Sekondari na Dareda sekondari. Arusha kuna shule inaitwa Ngabobo iko Ngarenanyuki, kuna mmbulu pale anatafuna hela utafikiri shule ya babake.

Ukiachana na rushwa, sahivi wiki imeisha watoto hawajafundishwa chochote, kisa hakuna vitabu wala miongozo ya mitaala mipya. Tunachorushiwa sahivi na TBC kila siku ni maghorofa ya skuli zanzibar. Tuemepatwa na nni km Nchi?
Una chuki na majungu mpaka unaandika vitu visivyoumana. Hebu tulia jieleze uzuri. Headmaster mmoja anaongoza shule nne au? Hizo shule za kata zenye ufaulu mzuri kiasi mzazi kuhonga milioni moja toa matokeo yake kulinganisha na huko wanafunzi wanakohama. Mitaala na vitabu ingetosha kuwa mada nzuri inayojitegemea kujadiliwa kwa mapana. Tatizo binafsi na mtu lisikutoe katika reli ndugu.
 
Rushwa kila Kona hata huku mbeya wanataka laki nane kupata shule za bweni za serikali
 
Mleta mada huna tofau na aliyeepiga picha trafk akichukua poosho hv unathan huyo mwalim akikkataa hyo rushwa na mwanao hajapangwa shulen kwake nan atakae mtafta m.wenzzie hata hao aanao wauzia wamemfaata so ye kapambana shuleyake ifaulishe vizuri ili kamba yake yakula iwe.ndefu punguza wivu mleta mada
 
Mie ujinga na mazoea ya kijinga sipendi nimesonesha mtoto middle school alafu ufaulu grade A average A shule kata nikaona ujinga huu nikajaribu shule ya vipaji maalumu ya serikali mwalimu mkuu kaniwekea mapozi yaan nimbembeleze aisee!


Nikatulia tuli uzuri na ubaya sikumpeleka usaili wowote dogo kipindi amemaliza sababu niliamini ataifanya vizur hvyo sitokosa shule but final yupo shule Moja nzur ya kabisa mtaala sayansi.

TATIZO: Unasomesha mtoto middle school primary alafu secondary anaenda goverment maana yake mtoto ashajua past tense, future tense Bila makelele huko class 2 Sasa baada ya 5yrs unamrudisha huko pengine hata mtoto anaona mwalimu anakosea unafikiri hapo patakuaje

Mzazi mwanao akiwa middle school pambane aende middle ya secondary Ili aweze kumaintain Ile foundation uliompatia awali
 
Back
Top Bottom