MimiT JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 599 Reaction score 388 Aug 31, 2013 #1 Nina biashara ndogo ya stationery.(ina miezi minne sasa) Nahitaji kukuza biashara yangu iwe kubwa zaidi. Ni benki gani inatoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo kwa riba nafuu?
Nina biashara ndogo ya stationery.(ina miezi minne sasa) Nahitaji kukuza biashara yangu iwe kubwa zaidi. Ni benki gani inatoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo kwa riba nafuu?
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,890 Reaction score 2,795 Sep 2, 2013 #2 Elezea biashara yako unataka kuikuza kwa kiwango gani na kiasi gani ungehitaji kwa ajili ya mkopo. Returns zako kwa wiki zikoje?
Elezea biashara yako unataka kuikuza kwa kiwango gani na kiasi gani ungehitaji kwa ajili ya mkopo. Returns zako kwa wiki zikoje?