wapi mr. Nice

mbalila

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
824
Reaction score
161
wana jf napenda kujua yuko wapi Mr.Nice alikuwa mmoja ya wanamziki waliokuwa wanapendwa na watu wa kila lika
 
Yupo kwa bibi ako namtumbo anaimba "fagilia,fagilia Bongoo,,,,
Wawaaaaaaaaaaaaaa"
 
Usiku utamkuta Ambiance ( Anacheza pool table) ama Uhuru Peak anakunywa ndovu
 
Muulize Dna Aliyempeleka Grandpa Records Badala Ya Kupiga Show Akawa Mlevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…