Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 432
- 553
Msaada - Wapi Dar napata mashine nzuri za kunyolea za WAHL?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja tuu mkuu. Sio biasharaNgapi unataka na bei yako kwa moja?
Weka advance mzigo uletwe unamaliza shughuli imeisha
Hiyo tafuta hapo hukosi ukiwa na laki tu.nilipo hiyo laki ni hela ya kutumaMoja tuu mkuu. Sio biashara
Asante mkuuKkkooo.mtaa wa msimbazi...maduka kibaoo wanaouza vifaa vya saloon..i.got one.from there ya mwanangu
Umenena kweli tunapenda cheap na tunapigwaIla kuwa makini. Hakuna mashine original ya WAHL inayouzwa laki.
Umepata wapi kwa bei gani?Nimepata. Big up woote.