Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pale Mkuki Publishers Posta Jirani na Duka Kubwa la Electronics la SAPNA utamkuta ama Mdogo wangu Mkuki Mwenyewe au Baba yake ( Uncle Wangu ) Mzee 'Genius' Walter Bgoya ( Baba Kaneza, Baba Vivian ) watakufanyia Kazi yako vyema kabisa na kwa Gharama ndogo huku Ubora wake ukiwa ni wa Kiwango cha Kimataifa.Habar wadau nina kitabu kina page 4000
huku posta sehemu ya bei rahisi kuprint 200
4000 x 200 = 800000 laki nane
Heeeh si ni balaa hili naomben msaada
Kwani bro Genta ni muhaya?Nenda pale Mkuki Publishers Posta Jirani na Duka Kubwa la Electronics la SAPNA utamkuta ama Mdogo wangu Mkuki Mwenyewe au Baba yake ( Uncle Wangu ) Mzee 'Genius' Walter Bgoya ( Baba Kaneza, Baba Vivian ) watakufanyia Kazi yako vyema kabisa na kwa Gharama ndogo huku Ubora wake ukiwa ni wa Kiwango cha Kimataifa.
Kina ukubwa gani, unaprint kimoja au vingiHabar wadau nina kitabu kina page 4000
huku posta sehemu ya bei rahisi kuprint 200
4000 x 200 = 800000 laki nane
Heeeh si ni balaa hili naomben msaada
Naona hata uko Kariakoo sasaivi sio rahisi kama unavyozani,hawezi akapata kuchapisha kopi moja chini ya shilingi mia,rimu zimepanda bei sasaiviPage 4000?kinahusu nini? najiuliza tu mtu anaweza kusoma hicho kitabu kwa kizazi cha sasa.labda kama kina maswali yanayotokaga kwenye mitihani.
kama ni kitabu cha hadith punguza pages ,ili ufanye ziwe part 1,2 ,3 and 4
unauuza part moja ili uprinti part 2. otherwise nenda karikaoo ndiyo kwenye printers wenye bei ndogo kabisa Tanzania yote
nipe link mkuu kariakoo mtaa gan ? dukq lii au kampuni ipiPage 4000?kinahusu nini? najiuliza tu mtu anaweza kusoma hicho kitabu kwa kizazi cha sasa.labda kama kina maswali yanayotokaga kwenye mitihani.
kama ni kitabu cha hadith punguza pages ,ili ufanye ziwe part 1,2 ,3 and 4
unauuza part moja ili uprinti part 2. otherwise nenda karikaoo ndiyo kwenye printers wenye bei ndogo kabisa Tanzania yote
nchi ya sycheles mmmh sasa transport si gharama piaNina jamaa yangu yeye anaenda kuchapisha vitabu vyake katika nchi ya Seychelles. Huwa anasema kule gharama ni affordable.
technology print its only print data bt photocopy capture data firstHivi ni nini hufanya printing na photocopying kuwa na bei tofauti?
sh ngap kwq black and whiteNenda pale Mkuki Publishers Posta Jirani na Duka Kubwa la Electronics la SAPNA utamkuta ama Mdogo wangu Mkuki Mwenyewe au Baba yake ( Uncle Wangu ) Mzee 'Genius' Walter Bgoya ( Baba Kaneza, Baba Vivian ) watakufanyia Kazi yako vyema kabisa na kwa Gharama ndogo huku Ubora wake ukiwa ni wa Kiwango cha Kimataifa.
kimoja tu 4000 pages black and whiteKina ukubwa gani, unaprint kimoja au vingi
Mkuu nipe Mimi hiyo tenda nikuprintie kwa sh 100 coloured copiesHabar wadau nina kitabu kina page 4000
huku posta sehemu ya bei rahisi kuprint 200
4000 x 200 = 800000 laki nane
Heeeh si ni balaa hili naomben msaada
Unapatikana wapiMkuu nipe Mimi hiyo tenda nikuprintie kwa sh 100 coloured copies
Mwanza mkuuUnapatikana wapi
kimoja tu 4000 pages black and white
Kina ukubwa gani , nikijua size take naweza kukupigia hesabupi