Wapi naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga?

Wapi naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga?

msigazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
467
Reaction score
349
Nimekuwa mjini muda mrefu sana

Nimeona kukaa mjini hailipi

Napanga niende kijijini nikalime

Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao

Niko kanda ya ziwa

Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga

Na nikafanikiwa vizuri zaidi katika kazi zangu
 
Inabidi ujipange haswa kilimo sio mchezo mfano unaposema unataka kulima mahindi,mpunga na maharage soko lako litakuwa wapi? ukijua unaenda eneo gani je changamoto ya kilimo cha mahindi,mpunga na maharage unajizijua ? mahitaji ya madawa,mbolea,mbegu na vifaa vya kupalilia,kuvuna vinapatikana wapi?
 
Nimekuwa mjini muda mrefu sana
Nimeona kukaa mjini hailipi
Napanga niende kijijini nikalime
Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao

Niko kanda ya ziwa
Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga
Na nikafanikiwa vizuri zaidi katika kazi zangu
Kwani hakuna tozo ya jembe.
 
Hata ukilima tozo utakutana nayo tu
Tozo ya mihamala,tozo ya jengo,etsetra

Huko kwenye kilimo pia subirini tozo itakuja

Mimi ni mbishi ila sahv nme surrender 😂😂

Ova
 
Nimekuwa mjini muda mrefu sana
Nimeona kukaa mjini hailipi
Napanga niende kijijini nikalime
Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao

Niko kanda ya ziwa
Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga
Na nikafanikiwa vizuri zaidi katika kazi zangu
Wewe kama kweli umechoshwa na TOZO basi hamia Burundi! Kinyume na hapo, unajidanganya tu. Hata huko Kijijini unako kimbilia, utazikuta tu.

Kama mimi nadanganya, basi muulize Mzee Mgaya kupitia huyu Karani wake johnthebaptist!
 
Inabidi ujipange haswa kilimo sio mchezo mfano unaposema unataka kulima mahindi,mpunga na maharage soko lako litakuwa wapi? ukijua unaenda eneo gani je changamoto ya kilimo cha mahindi,mpunga na maharage unajizijua ? mahitaji ya madawa,mbolea,mbegu na vifaa vya kupalilia,kuvuna vinapatikana wapi?
Kumbe yamekuwa hayo tena [emoji848]
 
We msigazi wa bukoba weweee, nenda morogoro kalime Kuna mashamba mengi yenye rutuba ya kutosha.Kalime mpunga,maharage,karanga, Lima na nyanya utafanikiwa !.
 
Wilaya ya Kilindi au Handeni Tanga. Ulima bila mbolea
 
kwa kuanzia anza na kilimo cha zao moja hilo shamba la mazao yote hayo uliyo ainisha hutoweza kulihudumia...stick kwenye zao moja....kwa Tanzania yetu hii kila sehemu ina rutuba chamsingi rudi kijijini kwenu ambako unaweza kupata mashamba bure kisha anza kilimo ila stick kwenye zao moja kwanza
 
Back
Top Bottom