Wapi naweza kupata breaching earth kwa ajili ya usafishaji wa mafuta ya alizeti

Wapi naweza kupata breaching earth kwa ajili ya usafishaji wa mafuta ya alizeti

Joined
Feb 23, 2025
Posts
40
Reaction score
34
Habari za mda huu wa kuu.kichwa cha somo chahusika.Ninatarajia kufungua kiwanda kidogo kwa ajili ya usafishaji wa mafuta ya kupikia hivyo ninahitaji kemikali muhimu katika shughuli hii.Mafuta nitakayokuwa nayachqkata ni ya alizeti,mawese na mengineyo.Naamini JF ina watu wa kila nyanja katika hao wapo wanaoweza kuwa wanafahamu kuhusu suala hili.Kemikali hii inapatika China 🇨🇳 na wanataka uagize kuanzia Tani moja na mimi ndio nataka kuanza
 
Nitoe tongotongo mkuu naanzaje huu mchakato ninahitaji sana hii kitu
Inabidi uwacheki mawakala wa kitanzania wanaoagiza nje, kwa mkoa uliopo. Wale wanaoagiza kemikali za shule,ethanol,kemikali za material ya Sabuni kisha uombe wanapoleta kutoka South Africa au China uweke na order yako
 
Mkuu hapo , kweny mafuta ya mawese , umejipangaje Yani Sasa hv nmetoka kuulzia mashine Bei yake Ni 🔥🔥🔥.
Ila inategemea na production capacity utakayotaka na product ima iwe RBD palm olein au RBD palm oil.
Ninayo mashine
 

Attachments

  • DSC03808.JPG
    DSC03808.JPG
    624.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom