Wapi naweza kupata hizi novel kwa Dar e salaam?

Grand Jury

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
73
Reaction score
16
kwa wapenzi wa novel, naomba msaada wapi jijini dar naweza kupata novel zifuatazo: 1. the rainmaker cha john grisham 2. overload cha arthur hailey
 
kwa wapenzi wa novel, naomba msaada wapi jijini dar naweza kupata novel zifuatazo: 1. the rainmaker cha john grisham 2. overload cha arthur hailey

Nenda Mlimani City kuna bookshop inavitabu vingi sana..
 
yani umenikumbusha mbali wakati mambo hayajanibana. john grisham was my favourite hadi nilikuwa nakesha nä novel zake kama. the grand jury, the runway jury ,the client, the firm ,a painted house
,sycomore, a time to kill, the recketear, the chamber , the partner, the pelican brief, the rainmaker etc lakin mwisho wa maneno ni the firm. kuna maduka mengi ule mtaa wa samora. na pale karibu na duka la vitabu la serikali kuna duka lina.maelfu ya vitabu.
 
kwa wapenzi wa novel, naomba msaada wapi jijini dar naweza kupata novel zifuatazo: 1. the rainmaker cha john grisham 2. overload cha arthur hailey


Nenda Scholastic bookshop Mlimani city wale ni noma aysee.Nilipata Inferno ya Dan Brown mwaka jana mapema sana baada tu ya kuzinduliwa jamaa wakawa nayo.
 
asante wakubwa. nafuatilia hizo sehemu mlizonielekeza.
 
Hongera kuwa moja ya wacahache ambao bado wanaojisomea

inategemea mfuko wako - milmani city unapata vipya lakini kama unataka used pita samora avenue kuanzia NIC mpaka kwnye corner ya kwenda New Afika htl pia vuka askari monumemt uambae na maeneo opposite iliyokuwa salamander maeneo hayo yana book shops na wale wa vibarazani. pia ukikata kushoto pale salamander elekea maeneo ya karibu na benki ya wanawake pia kuna bookshops na wa barazani
 
Nenda Scholastic bookshop Mlimani city wale ni noma aysee.Nilipata Inferno ya Dan Brown mwaka jana mapema sana baada tu ya kuzinduliwa jamaa wakawa nayo.
wanavyo vitabu vya zamani pia!mi natafuta cha Michael Gichiru mkenya huyu cha 80's
 
waungwana na THE GODFATHER je, cha mario puzzo na KANE AND ABEL cha jeffrey archer?
 
Hapo Mlimani City utakuta vitabu vyote vya Mario Puzo dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…