Natumia mkuuPicha iko wApi?????
Ni pm!Nina bicon ambayo niliipata katika mlima.Ikiwa katika mdomo wa chupa ya wine na kugundishwa kwa cementi Kali.
Mwonekano wake
- Ni shaba
- Imechongwa
- Ia ngazi
Nini nimefanya -nimejaribu kupata watu wenye kujua maana ya yalimo katika bicon hiyo sijapata.
Nini Nahitaji: Msaada wa wapi naweza kupata majibu ya bicon hii ni Nini ?kwa Nini iko pale?
Sihitaji kulia na hivyo sitakiwi kuliza. Je neno utafiti liwe na tafsiri ya utepeli. Labda kitokacho mtu ndivyo alivyo! Anyways tuwachie wenye hekima wafumbue fumbo!Kuna mtu atalizwa hapa muda siyo mrefu.
Nimetuma sorry nimeattach mkuu Uzi namba iiNatumia mkuu
Yes sorry nimeshaattachUzi bila picha ni fake!!
Picha iko wApi?????
AsanteMtakuja kulipukiwa na maguruneti ama kupofuka macho