Wapi naweza kupata mkopo kwa dhamana ya kiwanja

10mil

Member
Joined
Jun 14, 2019
Posts
64
Reaction score
79
Wakuu,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka kiwanja kama dhamana,naomba mwenye kufahamu anijuze.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Wakuu,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka kiwanja kama dhamana,naomba mwenye kufahamu anijuze.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧

Kiwanja kipo wapi. Kina Hati?
 
Kiwanja ni mali ya serikali na unaweza kunyanganywa. Thamani ya kiwanja inatokana na jinsi ulivyokiendeleza na unakuwa unamiliki kile kilichojuu ya hicho kiwanja na ndicho unachoweza kuwekea dhamana benki! Kiwanja kama kiwanja huwezi wekea dhamana Benki! Labda dhamana ya mitaani isiyo rasimi!
 
Wakuu,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka kiwanja kama dhamana,naomba mwenye kufahamu anijuze.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Ukitaka okope kama unacho kiwanja mwaga tu tofali unavuta mpunga lkn sasa ngoja nikupe mchanganuo kidogo hapa, ukiwa na mtaji wa biashara wa milioni moja ili uweze kurudisha mkopo bila shida yeyote kopa laki 5,yaaani kisheri mkopo unatakiwa ukope nusu ya pesa unayomiliki hapo mkopo haukusumbui kamwe,sasa kama ww unamiliki million 10 unaenda kukopa milioni 5,ukainza kuweka akiba na ufuatiliaji mpka unakuja kupata hiyo m5 ukikaa na kupiga hesabu unakuta umetumia milioni 1ambayo hairudi ili upate milioni 5,sasa hapo bado kuna riba hii inakuwa kotokana na benk au taasisi iliokukopesha na unarudisha pesa kwa kuda gani,


Binafsi ckushauli kukopa,maana ukiwa na mtaji wa m 5 alafu unaenda kukopa m 10 hapo ww utaanza kuwa mtumwa wa mkopo mwisho wa cku unajikuta unaishi kwa kutegemea mkopo tu mtaji wako hujui umekwenda wapi na mwisho vitu vyako vinapigwa mnada baada ya kushindwa kulipa mkopo upo hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…