poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Habari wadau
Kuna nyumba eneo la magomeni, Dar es salaam anahitajika muwekazaji wa ujenzi aidha
wa jengo la kibiashara/makazi nk.
Au wapi panapatika wawekezaji na taratibu zikoje.
Ni hayo wakuu
Kuna nyumba eneo la magomeni, Dar es salaam anahitajika muwekazaji wa ujenzi aidha
wa jengo la kibiashara/makazi nk.
Au wapi panapatika wawekezaji na taratibu zikoje.
Ni hayo wakuu