Hi, JF,
Ninaamini JF ni jukwaa lenye watu wengi wanaoishi sehemu tofauti tofauti ndani na nje ya Tanzania. Naombeni msaada kwa anayefahamu sehemu ambayo naweza kupata sustainable supply ya Ngano kwa Tanzania AU nje ya Tanzania kwa mwaka mzima. Naomba mchanganuo wa bei na usafiri kutoka eneo ambako raw material hiyo inapatikana. Kwa sasa nipo Arusha.
Thanks JF