EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kwenye duka la bibi yako au?,usianze kunichefuaDukani.
Acha mapepe.Kwenye duka la bibi yako au?,usianze kunichefua
Mna mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja na huyo jamaa mbona siwaelewi elewi mabata nyinyiAcha mapepe.
Angekuambia unaipata geto kwake ungemjibu nini?
Hapana. Nimeona tu una mambo ya kisenge nikawa nakuweka sawaMna mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja na huyo jamaa mbona siwaelewi elewi mabata nyinyi
Hapana, bibi atakua kamaliza. Nenda kajaribu pale kwenye duka la mangi.Kwenye duka la bibi yako au?,usianze kunichefua
Ni kweli kabisa Mwl.RCT nmefanya nae biashara na nikapata mzigo wangu Tena Niko nje ya dar bila kuonana nae Wala kuongea nae isipokuwa baada ya kunipa namba ya malipo akafanya manunuzi baadae akanijulisha kupitia whatsapp kuwa mzigo umefikaUmewahi kufanya naye biashara huyo bwana
Hata mimi nimefanya nae ila niliagiza kitu kidogo yaani Kifaa cha kuwasiliana na Netflix na Channel kibao za nje nimesahau jina ila kilitoka US na nilikipata baada ya wiki mbili na alinipa access ya ku track mzigo mpaka unafika. Na nilipochelewa kwenda kuchukua walinituimia mesg.Ni kweli kabisa Mwl.RCT nmefanya nae biashara na nikapata mzigo wangu Tena Niko nje ya dar bila kuonana nae Wala kuongea nae isipokuwa baada ya kunipa namba ya malipo akafanya manunuzi baadae akanijulisha kupitia whatsapp kuwa mzigo umefika
Kwangu ni mtu mmojawapo hapa jamii forum ambaye unafanya nae biashara bila shida
@Mwl.RCT yupo na anaendelea na biashara kama kawaidaHata mimi nimefanya nae ila niliagiza kitu kidogo yaani Kifaa cha kuwasiliana na Netflix na Channel kibao za nje nimesahau jina ila kilitoka US na nilikipata baada ya wiki mbili na alinipa access ya ku track mzigo mpaka unafika. Na nilipochelewa kwenda kuchukua walinituimia mesg.
Sijui kwasasa kama bado yupo makini au la not sure. Sijawai kumwona.
Rejea hapaHata mimi nimefanya nae ila niliagiza kitu kidogo yaani Kifaa cha kuwasiliana na Netflix na Channel kibao za nje nimesahau jina ila kilitoka US na nilikipata baada ya wiki mbili na alinipa access ya ku track mzigo mpaka unafika. Na nilipochelewa kwenda kuchukua walinituimia mesg.
Sijui kwasasa kama bado yupo makini au la not sure. Sijawai kumwona.
Mwezi wa 7?,kwani unatoka nayo wapiUtanipa sh ngapi mkuu mwezi wa 7 mwishoni nije nayo unakuja kuiona na kunilipa changu ukiipenda
Ukipita niulizie basi mkuu nipo mbaliZiko nyingi tu 60,000 Kariakoo Agrrey
Upo wapi kwaniNjoo na 80k nikupe na risiti yake.