Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna gereji ya wachina hapo Mwanza. Wachina wanajitahidi sana kwenye kazi zao Na bei zao za kawaida tofauti na magereji mengi ya waswahili ambapo kazi hawajui alafu gharama inakuwa kubwa.Nenda morafu ,au pale gereji ya wachina mwanza
sent from HUAWEI
Hiyo ya tanga ni ipi mkuu?Kumbe kuna gereji ya wachina hapo Mwanza. Wachina wanajitahidi sana kwenye kazi zao Na bei zao za kawaida tofauti na magereji mengi ya waswahili ambapo kazi hawajui alafu gharama inakuwa kubwa.
Kwangu mimi gereji nzuri kwa ajili ya bodi za magari baadhi zipo Arusha, Dar na pia ipo Tanga alafu wanafuata wachina.
Hao Wachina wapo eneo gani hapo Mwanza?
Lal GarageHiyo ya tanga ni ipi mkuu?
Hapo unapoelekeza hakuna garage!Ukivuka voilkama unaemda nyegezi mkono wa kushoto
Mkuu tunaomba ututajie majina ya baadhi ya garage kama unayajua...binafsi ningependa kufahamu zaidi ArushaKumbe kuna gereji ya wachina hapo Mwanza. Wachina wanajitahidi sana kwenye kazi zao Na bei zao za kawaida tofauti na magereji mengi ya waswahili ambapo kazi hawajui alafu gharama inakuwa kubwa.
Kwangu mimi gereji nzuri kwa ajili ya bodi za magari baadhi zipo Arusha, Dar na pia ipo Tanga alafu wanafuata wachina.
Hao Wachina wapo eneo gani hapo Mwanza?
Kwanza tafuta duka la vitu used ununue hiyo show. Bila shaka garama itapungua sana.Msaada nilikwangua show ya mbele ikadondoka, kama unavyojua maplastic ya Nissan, naomba msaada wapi naweza ikarekebishwa hapa Kanda ya Ziwa?
Binafsi ningeomba kujua Garage za Mbeya.Mkuu tunaomba ututajie majina ya baadhi ya garage kama unayajua...binafsi ningependa kufahamu zaidi Arusha
Hilo Plastic nunua jipya tuUkivuka voilkama unaemda nyegezi mkono wa kushoto