Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Me naulizia mwenye kujua makampuni yanayokodisha mambo Gwajima muachie GwajimaHebu muone baba askofu Gwajima
sasa si ndo atakupa mwelekeo wapi uende pengine akakuunganisha na kampun alikonunulia yeye!Me naulizia mwenye kujua makampuni yanayokodisha mambo Gwajima muachie Gwajima
Asante sana Kaka ntaendaNenda Holiday Inn pale posta mpya kama upo dar!! Wanatoa service ya Helicopter ride...bei wanayocharge inategemea unakaa masaa mangapi hewani ie;100$ for 1hour
Asante kwa jibu zur sanawapigie hawa 0767 401010
Ku drive mwenyewe c mpaka usomee na Chuo kipo South Africa lolMBOE ANAKODISHA KAMA UKITAKA KUDRIVE MWENYE BEI INAPUNGUA
We utakuwa katika wale 4 vichaaWasiliana na ADAM AUTO GERAGE wa tunduma no juzi tuu alizidua helicopter aliyoitengeneza yeye mwenyewe. Nafikiri hii itakuwa being rahisi kabisa kwa sababu haidaiwi VAT , IMPORT DUTY wala CIF