Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 398
- 706
Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaa wa Kipata umeenda?Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
Ni mkoa gani hiyo kipata?Mtaa wa Kipata umeenda?
KariakooNi mkoa gani hiyo kipata?
Geita town....☹️Ni mkoa gani hiyo kipata?
MbeyaHabari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
Itakuwa wanauza kwa kgs...😶Mkuu kila pic ni bei gani
YeahHii sindo ile y 460k?
Nenda mtaa wa kipata kwenye msikiti wa Kipata kuna mhindi pale anazo anazoYeah