Wapi naweza pata Boom Sprayer ya kukodishwa mkoa wa Katavi?

Wapi naweza pata Boom Sprayer ya kukodishwa mkoa wa Katavi?

CHILALA KENNEDY

New Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
4
Reaction score
0
Habari wadau,

Natarajia kulima mahindi katavi mpanda kama ekari 300 kwa wazoefu naweza pata boom sprayer inayoendeshwa na trekta kwa kukodi. Na gharama zake zipoje
 
Back
Top Bottom