Mamboz
.
Natarajia mko poa wadau..
Nahitaji msaada wapi naweza pata huduma ya kuenda kupima ukimwi kesho jpili?
Nenda regency ila anda 27,000
Kama umeupata leo hautaonekana.
hilo jina mmmh!
Mamboz
.
Natarajia mko poa wadau..
Nahitaji msaada wapi naweza pata huduma ya kuenda kupima ukimwi kesho jpili?
nenda ubungo stendi ya daladala pale wako jamaa wanapima buree
Kama umeupata leo hautaonekana.
mkuu confused... Calm down... Majibu ulete ..lol
nenda ubungo stendi ya daladala pale wako jamaa wanapima buree