Wapi Naweza Pata KitiMoto Nikiwa Mjini Mtwara?

kitimoto ya ukweki nenda sabasaba ndani bar ya magereza. Muulizie mwana jf mwenzetu humu ngalangala akupe mwongozo maana ndo kwao huko
<br />
<br />
Sawa Mkuu! Kauli yako ni sheria...!
 
Kwa Kavishe Shangani, hapo nilikula kitimoto miaka yote nilipokuwa Ntwara. Jaribu hapo mkuu.
 
MKUU,ULIFANIKIWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…