Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo wa biashara?Habarini wakuu.
Nina hati ya kiwanja, ninashida ya mkopo kama mil 2-3. Wapi naweza pata mkopo kutumia hati nimejaribu benki kama 2 hivi nimekosa.
ndio mkuu.. wapi naweza pataMkopo wa biashara?
Gari si uuze tu ufanye Mambo yako, ukikamilisha mambo yako unanunua nyingine tuAisee mimi natafuta mkopo kwa kutumia kadi ya gari niongeze mbegu za mifugo ktk ufugaji wangu niko Dar.
Atumie kitambulisho cha machinga/ujasiriamali tu, si waliwahi kuambiwa vitakuwa na kazi hiyo pia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nijuavyo hata Taasisi za kukopesha zikiwepo Benki hutaka kujiridhisha kama unachoenda kufanya kweli kuna matumaini ya kurejesha hiyo pesa.
Tofauti na hapo uangukie kwa Wajanja watakaokuwa interested na hicho kiwanja kuliko hata unachoenda kufanyia hizo pesa...hao hata ukiwaambia unataka pesa za kukeshea baa hawana shida...na masharti yao yatakuwa yanaelemea kwao.
Usiwasikilize sana Wanasiasa wanaohamasisha Majukwaani kuwa ukiwa na hati ya kiwanja basi unapata mkopo kwenye taasisi za kifedha..mambo sio rahisi hivyo.
Kuna ka kampuni fulani nimekasahau jina, lake, wako Sinza Mori kwenye jengo lililopo mbele ya kituo cha mafuta. Wanakopesha ila kwa miezi mitatuAisee mimi natafuta mkopo kwa kutumia kadi ya gari niongeze mbegu za mifugo ktk ufugaji wangu niko Dar.
Tatizo ni kwamba ukienda Benki hutawakuta hao Wanasiasa waliotoa hizo ahadi.Atumie kitambulisho cha machinga/ujasiriamali tu, si waliwahi kuambiwa vitakuwa na kazi hiyo pia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini sisi tuliwachagua kwa ahadi zao hizo hizo, sasa sijui tatizo lipo kwa aliyechagua au aliyechaguliwa?Tatizo ni kwamba ukienda Benki hutawakuta hao Wanasiasa waliotoa hizo ahadi.
Waone platnumAisee mimi natafuta mkopo kwa kutumia kadi ya gari niongeze mbegu za mifugo ktk ufugaji wangu niko Dar.
kigamboni mwasonga. hati ni ya wizara ya,ardhiNaomba kujua kiwanja kipo wapi?
Hati ni ya namna gani?
kigamboni mwasongaKiwanja kipo mkoa gani?
Nitafute. 0625750755.Aisee mimi natafuta mkopo kwa kutumia kadi ya gari niongeze mbegu za mifugo ktk ufugaji wangu niko Dar.